Kwakweli nili pendezwa na mimi kujua internet sikujuwa inamaana gani lakini nilipo tambuwa hiyo fahida nilifurahi sana kwaku zungumuza na wengine wanawake dunia nzima kwakweli mwanamuke ambaye hajuwi internet yuko mbali na maendeleo ombi langu ni hili wanawake wa mujini piya wa vijijini wajitoleye kwakujua internet.